Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kigamboni - Kibugumo, Dar Es Salaam (700 sqm)
Aina
Nyumba
Vyumba
4
Ukubwa
700 SQM
Barabara ya Karibu
1km
Awali
Inaruhusiwa
Huduma na Sifa
Maelezo
KIBUGUMO ๐ฅ๐ก
๐ FURSA NZURI YA KUMILIKI BOMA KATIKA ENEO ZURI!
Boma linauzwa Kigamboni โ Kibugumo likiwa katika eneo zuri, tulivu na lenye mazingira mazuri. Boma lipo kwenye hatua ya finishing ya kupaua, hivyo mnunuzi ana nafasi ya kulimalizia kwa mtindo anaoupenda.
โจ SIFA ZA BOMA:
โ
Vyumba 4
โ
Chumba 2 Master
โ
Sebule
โ
Dining
โ
Jiko
๐๏ธ Lipo kwenye hatua ya finishing ya kupaua
๐ Ukubwa wa Kiwanja: SQM 700
๐ Nyaraka: Hati ya Serikali ya Mtaa
๐ UMBALI:
๐ Kilomita 1 kutoka barabara
โด๏ธ Kilomita 7 kutoka Ferry
๐ Kilomita 8 kutoka Kigamboni Darajani
๐ฐ BEI: TZS MILIONI 75
๐ค Mazungumzo kidogo yapo.
๐ฅ FURSA YA KIPEKEE:
Unapata boma lenye vyumba 4 kwenye kiwanja cha SQM 700, kisha unalimalizia kwa design na finishing unayoipenda.
๐
๐Service charge 30,000
#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio















