Search

4 Bedrooms House for Sale in Kigamboni Fani City, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 135,000,000

Description

🏑 NYUMBA MPYA YA KISASA INAUZWA – KIGAMBONI FANI CITY

Usikose fursa hii ya kumiliki nyumba mpya ya kisasa katika eneo linalokua kwa kasi, linalofaa kwa makazi na uwekezaji.

πŸ“ Mahali: Kigamboni – Fani City
πŸ“„ Nyaraka: Sales Agreement

✨ Sifa za Nyumba:

* Vyumba 4, vyote Master
* Sebule kubwa
* Dining
* Jiko la kisasa
* Nyumba mpya kabisa
* Kisima cha maji
* Fremu ya biashara ndani ya eneo
* Mazingira tulivu na salama

πŸ“ Umbali:

* Kilomita 1 kutoka barabara ya lami
* Kilomita 12 kutoka Feri
* Kilomita 10 kutoka Daraja la Nyerere

πŸ’° Bei:

TZS Milioni 135 (Mazungumzo yapo.)

πŸ”₯ BEI IMEPUNGUA!
Hapo awali nyumba hii ilikuwa inauzwa kwa TZS Milioni 160, lakini kwa sasa mwenye nyumba anaiuza kwa TZS Milioni 135 tu.

πŸ“ž Wasiliana nasi: 0769 554 221
πŸ“Service Charge 30,000

#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio

Similar properties in Kigamboni, Dar Es Salaam