5 Bedrooms House for Sale in Kigamboni, Geza Ulole, Dar Es Salaam (1350 sqm)
Amenities
Description
🏡 GHOROFA INAUZWA – KIGAMBONI, GEZA ULOLE 🔥
✨ FURSA NZURI YA KUMILIKI NYUMBA YA KISASA! ✨
Ghorofa nzuri inauzwa katika eneo la Kigamboni – Geza Ulole, eneo tulivu na linalofaa kwa makazi ya familia pamoja na uwekezaji.
🏠 SIFA ZA NYUMBA:
✅ Mfumo wa Ghorofa
✅ Vyumba 5, vyote Master
✅ Sebule kubwa
✅ Dining
✅ Jiko
✅ Eneo kubwa lenye nafasi nzuri
📐 Ukubwa wa Kiwanja: SQM 1,350
📄 Nyaraka: Hati ya Wizara
📍 UMBALI:
📌 Mita chache kutoka Baba Alami
📌 Takribani KM 11 kutoka Ferry
📌 Takribani KM 10 kutoka Daraja la Nyerere
💰 BEI: TZS MILIONI 770
🤝 Mazungumzo kidogo yapo.
🔥 Nyumba hii inafaa sana kwa makazi ya familia, uwekezaji, Airbnb au nyumba ya kifahari.
📞 Wasiliana nasi:
📍Service Charge 30,000
#trendingvideo #istagram #realestateagent #realestateforsale #trendingaudio















