Search

5 Bedrooms House for Sale in Kigamboni, Geza Ulole, Dar Es Salaam (1350 sqm)

Sh. 770,000,000

Description

🏡 GHOROFA INAUZWA – KIGAMBONI, GEZA ULOLE 🔥

✨ FURSA NZURI YA KUMILIKI NYUMBA YA KISASA! ✨

Ghorofa nzuri inauzwa katika eneo la Kigamboni – Geza Ulole, eneo tulivu na linalofaa kwa makazi ya familia pamoja na uwekezaji.

🏠 SIFA ZA NYUMBA:
✅ Mfumo wa Ghorofa
✅ Vyumba 5, vyote Master
✅ Sebule kubwa
✅ Dining
✅ Jiko
✅ Eneo kubwa lenye nafasi nzuri

📐 Ukubwa wa Kiwanja: SQM 1,350
📄 Nyaraka: Hati ya Wizara

📍 UMBALI:
📌 Mita chache kutoka Baba Alami
📌 Takribani KM 11 kutoka Ferry
📌 Takribani KM 10 kutoka Daraja la Nyerere

💰 BEI: TZS MILIONI 770
🤝 Mazungumzo kidogo yapo.

🔥 Nyumba hii inafaa sana kwa makazi ya familia, uwekezaji, Airbnb au nyumba ya kifahari.

📞 Wasiliana nasi:
📍Service Charge 30,000

#trendingvideo #istagram #realestateagent #realestateforsale #trendingaudio

Dalali Kigamboni mbavu

dalali__kigamboni_mbavu

@dalali__kigamboni_mbavu

View Listings

Similar properties in Kigamboni, Dar Es Salaam

4 Bedrooms House for Sale in Cheka Kigamboni, Dar Es Salaam (4200 sqm)

Sh. 165,000,000

For Sale4 beds1 bath4,200 sqmhouse
5 Bedrooms House for Sale in Kigamboni, Dar Es Salaam (1200 sqm)

Sh. 1,000,000,000

For Sale5 beds1,200 sqmhouse
Dalali Kigamboni mbavu