Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Msongola, Dar Es Salaam


CHUMBA KIMOJA, SEBULE NA FREMU 1,TSHS,15 MILIONI,KITONGA.
Hapa ni MSONGOLA.
Njoo WAHI UJIOKOTEE.
Hapa Chumba kimoja ambacho ni Masta,
Na Sebule.
Pia kuna Fremo moja ya Duka.
Weka Duka lako,
Na Utaishi kwako hapohapo.
Au hupendi Weka Wapangaji chukua Kodi.
Hutakosa kitu.
Huduma za Umeme na Maji zipo.
______________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
_____________mskv



















