Nyumba/Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Ubungo, Dar Es Salaam


APARTMENT MPYA NZURI YA KISASA INAPANGISHWA
Ni chumba kimoja master na sebure na jiko
Maji yanaflow ndani
Ipo ndani ya fensi usalama upo wakutosha
Ipo Ubungo kibo dk 12 kwamguu bodaboda buku Barabara ni rami tupu
Bei ni laki 3 kuanzia miezi 3 inapokelewa
Service charge elfu 15. Ukilipia nyumba ni kodi ya mwezi mmoja malipo ya dalali
Simu 0757 404087