Nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa Mbagala, Dar Es Salaam


Nyumba inapangishwa ipo mbagala mbande kisewe location kwadarueshi, bei laki 2 kwa mwezi kodi kuanzia miezi 6 nakuendelea. Nyumba ina rooms 3 vyakulala, sitting room, dinning room, jiko, room moja ni master bedroom, public toilet ipo, tiliz, madilisha vioo, fensi ya parking ipo, paving blocks chini zpo, ni stand alone house kila kitu unajitegemea. Kwa mawasiliano zaidi pga namba 0688559385 au pga namba 071925 0426.