Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Msongola, Dar Es Salaam (420 sqm)


Aina
Nyumba
Vyumba
3
Ukubwa
420 SQM
Sifa
Maelezo
NYUMBA VYUMBA 3, FREMU MOJA,TSHS.35 MILIONI,MSONGOLA.
Kiwanja kinaukubwa wa SQM. 420.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Ipi jirani na Kitui cha Daladala.
Ndani ya Fensi.
Vyumba 3 ( Masta 1)
Pia ina Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.
_________________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
_________________mskv



















