Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Mbagala, Dar Es Salaam


HAYA WAHI NAWE UMILIKI GHOROFA MUJINI, VYUMBA 4.TSHS.40 MILIONI.
Hii nyumba ni ya kumalizia ujenzi.
Ipo MBAGALA CHAMAZI.
Mita chache tu kutoka Barabara ya Lami.
Kiwanja kjna ukubwa wa SQM. 400.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Ujenzi imara na mpangilio mzuri.
Vyumba 4 (Masta
Pia kuna Sebule,Jiko,Dining-room,Store na Choo cha Familia ndani.
________________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
+255714591548
________________jj
Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali