Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kigamboni Kisota, Dar Es Salaam (600 sqm)


Aina
Nyumba
Vyumba
4
Ukubwa
600 SQM
Sifa
Maelezo
🏡 GOROFA LA KIFAHARI LINAUZWA – KIGAMBONI KISOTA
Unatafuta nyumba ya kisasa, yenye hadhi na eneo zuri? Hii hapa fursa adhimu kwako!
✨ Sifa za Nyumba:
• 🛏️ Vyumba 4 – vyote Master
• ❄️ Full AC nyumba nzima
• 🏠 Boys Quarter (Boy’s Contena)
• 📐 Ukubwa wa eneo: SQM 600
• 📄 Hati ya Wizara (Title Deed)
• 🚗 Imegusa moja kwa moja barabara ya lami
• 🌴 Ipo kwenye mtaa wa kishua sana (mazingira ya hadhi ya juu)
💰 Bei: Milioni 450 (Mazungumzo yapo kidogo)
📞 Wasiliana sasa: 0769554221
#trending #videos #istagram #tanzania #realestateforsale




















