Shamba linauzwa Dakawa, Morogoro

 media -1
media -1
Sh. 2,500,000,000
Installment Allowed
Agriculture

*Shamba la Ekari 1590 linalofaa kwa kilimo cha umwagiliaji linauzwa Dakawa, Morogoro*

*Distance* Kutoka Morogoro mjini ni 39 KM Sokoine Picha na Kutoka Sokoine Picha Barabara ya Dodoma ni KM 9

*Neighborhood* Shamba la Miwa na Wafugaji wa Kimasai

*Ndani ya Shamba umepita Mto Wami ambao ni mpaka wa shamba jingine*

*Ndani ya shamba kuna mabwawa 4 ya Samaki ambapo 2 ya kutengeneza na 2 ya asili samaki wanaopatikana ni Perege, Kambale, Bembe, Ngogo na Kitoga.*

-Shamba linatumika kwa Kilimo, Ufugaji na Uvuvi.

-Shamba linakubali mazao aina zote ikiwemo Miwa, Mboga Mboga, Mpunga na kwa sasa yaliyoko shambani ni Mbaazi (Ekari 50), Mahindi (Ekari 300).

-Shamba limesafishwa Ekari 800 zilizobaki ni pori.

-Shamba lina mlima wa mawe wa kupasua leseni zimelipiwa.

Document: Title Deed (99 Years) imetolewa Mwaka 2024

*Bei ni shilingi Bilioni 2.5 maongezi yapo*

Buy, sale Rent And advertise with us
Calls And whatsap +255621488071.

mtwara_vituvilivyotumika
dalali_mtwara_
mtwara_vituvilivyotumika

Similar items by location

Shamba linauzwa Dakawa, Morogoro
  • Agriculture

Sh. 2,500,000,000

*Shamba la Ekari 1590 linalofaa kwa kilimo cha umwagiliaji linauzwa Dakawa, Morogoro**Distance* Kut...

Kiwanja kinauzwa Dakawa, Morogoro

Sh. 28,000,000

NYUMBA NZURI SANA YENYE ENEO KUBWA INAUZWA KWA NIABA YA BANK DAKAWA CENTRE ( MOROGORO MUNICIPALITY )...