Kiwanja kinauzwa Kibaha, Pwani


💎Tuna mradi mzuri sana kwaajili ya viwanda( Unaweza kubadilisha matumizi) hapa KIBAHA MADAFU
💎Mradi upo umbali wa 5km kutoka Barabara ya Morogoro road
💎Tayari kuna viwanda viwili Site , hii inakwambia nini?
🍀Security ni nzuri
🍀Magari makubwa yanapita
🍀Umeme upo vizuri
🍀Maji yanapatikana kwa kiwango kizuri
💎Ukubwa ni hekari tano tano kwa eneo moja yani SQM 20,000
💎Bei ni 15,000 kwa sqm kwaiyo bei ni MILIONI 300 tu
☎️0718354943 kutembelea site na kutumiwa mchoro
📍IPS BUILDING, 5th floor, Posta