Kiwanja kinauzwa Kibaha, Pwani


KIWANJA SQM.1200 NA TOFALI1000 VINAUZWA PAMOJA, TSHS.8 MILIONI,KIBAHA MADAFU
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Ni umbali wa kilomita 1 tu kutoka Barabara ya Morogoro.
Kwa Bodaboda ni Tsh.1000 tu.
Njia nzuri kabisa.
_____________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe Mnunuzi)
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
+255714591548.
_____________mpg
Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.