Kiwanja kinauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
Sh. 195,000,000

HOUSE FOR SALE.
.
Eneo : KIAGAMBONI.
Square Meters : 600.
.
.
Bei : Million 195/Maongezi.
Documents : Hati Miliki.
.
.
HOUSE STRUCTURE.
.
Living Room.
Dining Room.
Kitchen+Store.
.
2 Master Bedroom's.
1 Single Bedroom.
.
.
SERVICES.
.
.
Maji.
Garden.
Umeme.
Public Toilet.
Paving Blocks.
Parking Space.
.
.
NOTE. .
.
.
Hii ni Nyumba ya kisasa kabisa yenye viwango vya juu kabisa.
.
Nyumba ipo Kigamboni Geza Ulole Block 18 moja Kati ya Maeneo yaliyo jengwa kisasa hapa Dar es salaam.
.
Inauzwa Million 195 kulingana na Ubora wa nyumba na ramani yake kiujenzi.
.
Nyumba bado Mpya kabisa haija wahi kukaliwa na Mtu yoyote.
.
Ipo Kigamboni Geza Ulole Maarufu Uwanja wa Yanga.
.
Ukiwa unatoka Hospitali ya Wilaya au Kwa Mkuu wa Wilaya unafika mpaka Geza juu halafu unakata upande wa kushoto kama una kuja Shule ya ABC CAPITA SCHOOL.
.
Mji wa Geza Ulole bado ni mji Mpya na Nyumba za Maeneo Jirani zimejengwa kisasa.
.
Kuna utulivu wa Hali ya juu Sana kwenye mji huo.
.
Nyumba imejengwa kisasa ukitazama kwenye picha inajieleze.
.
Ukumbi wa Wageni mkubwa Kabisa yaani Living Room.
.
Master Bedroom ni kubwa Sana.
.
Ukitoka nje ya geti nyumba imezungukwa na Ujirani mwema.
.
Kutoka Barabara ya Geza juu maarufu Geza Center mpaka kwenye Nyumba ni mwendo wa dk 15 Sawa na kilometer 4 hivi.
.
Huduma za kijamii zipo jirani kabisa mfano kutoka kwenye nyumba mpaka main road ni karibu zaidi na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya pamoja na Hospital ya Wilaya ya Kigamboni.
.
Kumbuka pia Nyumba Ina Servant Cotta yenye vyumba vitatu pamoja na jiko la kujitegemea.
.
Kama umevutiwa na Nyumba hii wasiliana na Bwana PASHA tuna zungumza na Mmiliki yaani Mwenye Nyumba.
.
CONTACT.
.
.
☎️Call 0718 211501 AU 0768 313101
📲WhatsApp 0620 325185.
📧 Email jengarealestate@gmail.com.
.
.
PASHA REAL ESTATE,live a Happy life.

dahuuofficial dahuuofficial dahuuofficial

PASHA REAL ESTATE
pasharealestate_tz
PASHA REAL ESTATE

Similar items by location

Kiwanja kinauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 120,000,000

KIWANJA KINAUZWA KIGAMBONI kIBADA STEND__MITA 💯 KUTOKA LAMI ENEO LINA BOMA. NDANI LENYE VYUMBA 8KW...

Nyumba ya chumba kimoja inauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 250,000,000

HOUSE FOR SALE KIGAMBONI MJIMWEMA UNGINDONI __NYUMBA NIYA KUAMIA TU TAJILIMAZINGILA TULIVU SANA NYU...

Viwanja vinauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam
  • Project

Sh. 4,000,000

Kwetu hati ni lazma OFA OFA OFA YA FUNGA MWAKA……KWA THS 4M CASH unapata kiwanja Chenye ukubwa wa SQ...

Viwanja vinauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam
  • Project

Sh. 4,000,000

Kwetu hati ni lazma OFA OFA OFA YA FUNGA MWAKA……KWA THS 4M CASH unapata kiwanja Chenye ukubwa wa SQ...

Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 500,000

NYUMBA ZINAPANGISHWAKigamaboni darajani 📍✅ Vyumba viwili vyote master master Sebule jiko ✅ Ndani ya...

Kiwanja kinauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 12,000,000

Kiwanja kinauzwa kipo Kigamboni Buyuni kituo kinaitwa MahengeUkubwa wa Kiwanja Sqm 1500. Bei ni Mili...

Nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 1,000,000

📍Kigamboni Kibada 🏡House for Rent/StandAlone🏠Three Bedrooms/Two Bedrooms Master 🏊‍♂️Swimming Poo...

Nyumba ya vyumba vitano inauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 550,000,000

GHOROFA LINAUZWA KIBUGUMO KIGAMBONI 👉Lina vyumba vitano vya kulala master nne, public mbili sebule ...

Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 500,000

NYUMBA ZINAPANGISHWA KIGAMBONI <> location kibada <> nyumba ina vyumba viwili kimoja master sebule n...

Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 120,000

NYUMBA ZINAPANGISHWA KIGAMBONI <> location kibada<> nyumba ina chumba kimoja master sebule na jiko k...

Kiwanja kinauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 27,000,000

KIWANJA KIZURI CHA MAKAZIKIWANJA KIMEPIMWA NA KINA HATI KAMILIBEI NI MILLION 27 🤝 MAONGEZI KIDOGO Y...

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam
  • Project

Sh. 50,000,000

HOUSE FOR SALE NYUMBA INA VYUMBA VITATU VYA KULALA VIWILI MASTER SEBULE NA JIKOBEI NI MILLION 50 🤝 ...

Kiwanja kinauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 1,500,000

YADI INA PANGISHWA NA KUUZWA KIGAMBONI Ipo kisarawe II Ina ukubwa wa hekari mbili Ina hati ya wizara...

Nyumba ya vyumba viwili inauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 350,000,000

HOUSE FOR SALE/NYUMBA INAUZWARESIDENTIAL AREA FULL DOCUMET LOCATION KIGAMBONI KISOTA2 MASTER BEDROOM...

Nyumba/Apartment inapangishwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 1,000,000

HOUSE FOR RENT APARTMENT MPY__VYUMBA V3 VYAKULALA KIMOJA MASTER __Sebule/dining Jiko public AC /CCTV...

Kiwanja kinauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 27,000,000

KIWANJA KINAUZWA KIGAMBONI _&KIWANJA KINA FENCE PANDE MBILI MIUNDOMBINU NIMIZULI MAJILANI WAPO BALAB...

Nyumba inauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 50,000,000

HOUSE FOR SALE KIGAMBONI MJIMWEMA KIBUGUMO __VYUMBA V3 VYAKULALA VIWILI MASTER SEBULE DINING JIKOPUB...

Viwanja vinauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam
  • Project

Sh. 35,000

Jamani jamani! 🔥Mradi mpya umefunguliwa rasmi — Kigamboni Dege.Viwanja vipo kwenye ramani ya mipang...

Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 250,000

NYUMBA ZINAPANGISHWA KIGAMBONI <> location ungindoni <> nyumba ina chumba kimoja master sebule na ji...

Nyumba/Apartment ya vyumba vitatu inapangishwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 1,000,000

NYUMBA ZINAPANGISHWA KIGAMBONI <> location kibada <> nyumba ina vyumba vitatu kimoja Master sebule d...