Kiwanja kinauzwa Tabata Shule, Dar Es Salaam (700 sqm)

 media -1
media -1
Sh. 120,000,000

Aina

Kiwanja

Ukubwa

700 SQM

Huduma na Sifa

Uzio
Karibu na Stendi ya Mabasi
Karibu na Barabara
Karibu na Mji

Maelezo

🏢 KIWANJA KINAUZWA – TABATA SHULE 🏢

Kiwanja kizuri sana kinauzwa Tabata Shule, takribani dakika 2 tu kutoka kituoni 🚶‍♂️ na ufikaji ni rahisi kabisa 🚗.

📐 Ukubwa: SQM 700
🔒 Kipo ndani ya fence na kuna nyumba za zamani za kuvunjwa 🏚️, hivyo unaweza kuanza ujenzi mara moja 🧱.

Hii ni fursa nzuri sana kwa uwekezaji wa apartments 🏬.

Unaweza kujenga:
🔹 Vyumba viwili, sebule na jiko na kupangaisha kuanzia 700,000/= 💰 kulingana na finishing.
🔹 Au Master bedroom na jiko na kupangaisha kuanzia 500,000/= 💰 kulingana na finishing.

⭐ Watu wengi wanapenda sana kuishi Tabata Shule kwa sababu:
✔️ Hakuna foleni 🚗❌
✔️ Ufikaji wa mjini ni rahisi sana 🛣️
✔️ Ni karibu na mjini kuliko kwenda mbali kama Kinyerezi au Tabata Segerea.

Ndiyo maana wapangaji wengi wanaprefer kuishi Tabata Shule au Tabata Mwanzo.

💰 Bei: Milioni 120 tu
👀 Service charge: 30,000/=

🔥 Hapa unaweza kufanya uwekezaji mzuri sana na kutengeneza faida kubwa kwa kupangisha.

🤝 Karibu tajiri tufanye biashara.

📞 Wasiliana nami: +255 688 412 890
✨ Dalali wako Wakishua

Similar items by location

Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Tabata Segerea kwa Bibi, Dar Es Salaam
  • Residential

Sh. 400,000 per month

Hii apartment nzuri sana inapangishwa bei 400000 kwa mwezi kodi kianzia miezi 6, hii apartment ni ch...

Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Tabata Bonyokwa, Dar Es Salaam
  • Residential

Sh. 200,000 per month

APARTMENT ZINA PANGISHWA TABATA BONYOKWA DK6 KWA MIGUU KUTOKA LAMI -----Chumba master Seble kubwa Ji...

Apartment ya vyumba vitatu inapangishwa Tabata Baracuda, Dar Es Salaam
  • Residential

Sh. 500,000 per month

NEW APARTMENT FOR RENT 2 ON COMPOUND Location Tabata Baracuda Zero Distance To Main Road Nyumba Inat...

Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Tabata Segerea Kwa Bibi, Dar Es Salaam
  • Residential

Sh. 400,000 per month

NEW APARTMENTS ZA KISASA INAPANGISHWA IPO KWENYE FENCE TABATA SEGEREA KWA BIBIBei:400,000/ Per Month...

Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Tabata Kinyerezi Kibaga Zabika, Dar Es Salaam
  • Residential

Sh. 400,000 per month

Stand alone) Hii apartment inayojitegemea yenyewe ndani ya fence inapangishwa bei 400000 kwa mwezi k...

Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Tabata Kinyerezi Kibaga Zabika, Dar Es Salaam
  • Residential

Sh. 400,000 per month

Stand alone) Hii apartment inayojitegemea yenyewe ndani ya fence inapangishwa bei 400000 kwa mwezi k...

Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Tabata Kinyerezi Kibaga Zabika, Dar Es Salaam
  • Residential

Sh. 400,000 per month

Stand alone) Hii apartment inayojitegemea yenyewe ndani ya fence inapangishwa bei 400000 kwa mwezi k...

Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Tabata Kinyerezi Kibaga Zabika, Dar Es Salaam
  • Residential

Sh. 400,000 per month

Stand alone) Hii apartment inayojitegemea yenyewe ndani ya fence inapangishwa bei 400000 kwa mwezi k...

Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Tabata Bonyokwa Mwisho, Dar Es Salaam
  • Residential

Sh. 200,000 per month

[ 200,000 X 5 ] TABATA BONYOKWA MWISHO APARTMENT YA KISASA INAPANGISHWA ZIPO ( 3 ) TU KWENYE C...

Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Tabata Bonyokwa Mwisho, Dar Es Salaam
  • Residential

Sh. 200,000 per month

APARTMENT NZURI SANAAA INAPANGISHWAA🪴_____________>>📍MAHALI -TABATA BONYOKWA MWISHO Umbali kutoka b...

Viwanja vinauzwa Tabata Segerea Ugombolwa, Dar Es Salaam (400 sqm)
  • 400sqm
  • Residential
  • Project

Sh. 90,000 per sqm

•Viwanja vilivyopimwa viko 8•Tabata segerea ugombolwa•Sqm1=90,000•kuanzia Sqm 400 na kuendelea•Mita ...

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Tabata Kinyerezi Mwisho Kisungu, Dar Es Salaam (500 sqm)
  • 500sqm
  • Residential

Sh. 145,000,000

NYUMBA NZURI YA KISASA INAUZWA HAPA TABATA KINYEREZI MWISHO KISUNGU DAR ES SALAAM TANZANIA 🇹🇿 BEI: 1...

Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Tabata Segerea, Dar Es Salaam
  • Residential

Sh. 250,000 per month

apartments 6) brand new... house for rent 250000/=/month at tabata segerea mwisho......(viwanja vya ...

Nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa Tabata Aroma, Dar Es Salaam
  • Residential

Sh. 450,000 per month

Vyumba vitatu vya kulala kimoja master sebule dinning jiko bei 450,000/Location tabata aroma06725517...

Nyumba/Apartment inapangishwa Tabata, Dar Es Salaam

Sh. 400,000 per month

NEW APARTMENTS ZA KISASA INAPANGISHWA IPO KWENYE FENCE TABATA SEGEREA KWA BIBIBei:400,000/ Per Month...

Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Tabata Kinyerezi Mwisho Zimbili, Dar Es Salaam
  • Residential

Sh. 250,000 per month

NEW APARTMENTS ZA KISASA INAPANGISHWA ZIPO KWENYE FENCE TABATA KINYEREZI MWISHO ZIMBILI Bei: 250,000...

Nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa Tabata Kisukulu Maji Chumvi, Dar Es Salaam
  • Residential

Sh. 600,000 per month

#STAND_ALONE_INAJITEGEMEA_YENYEWE_KWENYE_FENSI_ISIYOLAZA_GARI_INAPANGISHWA 📌SEBULE KUBWA 📌VYUMBA 3 V...

Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Tabata Bonyokwa, Dar Es Salaam
  • Residential

Sh. 200,000 per month

[ 200,000 X 5 ] TABATA BONYOKWA MWISHO APARTMENT YA KISASA INAPANGISHWA ZIPO ( 3 ) TU KWENYE C...

Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Tabata Kinyerezi Songas Zabikha, Dar Es Salaam
  • Residential

Sh. 400,000 per month

APARTMENT INAPANGISHWA IPO TABATA KINYEREZI SONGAS ZABIKHA MWISHO WA BAJAJI _______VYUMBA 02 KODI TS...

Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Tabata Kinyerezi Songas Zabikha, Dar Es Salaam
  • Residential

Sh. 200,000 per month

CHUMBA KIMOJA MASTA SEBULE JIKO_____KINAPANGISHWA TABATA KINYEREZI SONGAS ZABIKHA NDANI YA FENCE KOD...