Nyumba inapangishwa Kigamboni, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
Sh. 1,500,000
Project
Yes

USIKUBALI KUKOSA NA HIVI. MRADI UPO KIGAMBONI KIMBIJI KIDAGAA Center. Ni Mita 200 tu Toka Barabara kubwa ya Kimbiji, pia ni jirani na kiwanda Cha Africab. Hivi viwanja Viko mjini Kabisa, unanunua na kujenga. Umbali wa Kutoka BAHARINI ni Km 1.5 0711677199/0744847199.

➡️Bei ni Milion 1.5 na Milion 1 Tu.
Vyote vina ukubwa sawa Futi 50 X 40. Utofauti wake, vya Milion 1.5 Viko juu na Milion 1 Viko chini Kidogo Mvua ikinyesha kubwa sana vina asili ya kukaa Maji.

⏭ Viwanja ni tambarare, ujenzi wake hausumbui kabisa, viko kwenye mpangilio mzuri wa barabara, Umeme upo, maji ya DAWASA, shule ya msingi na sekondari hapohapo, hospital ipo n.k

⏭ Unaweza kujenga nyumba ya kuishi, nyumba ya biashara kama kupangisha, maana mahitaji ni makubwa ya nyumba za kupanga mitaa hiyo, kwa sababu ya wingi wa wafanyakazi wa Viwandani.

⏭ Umbali kutoka Ferry ni km 33 , unapanda gari moja tu tokea Ferry, Kuona viwanja ni bure, na kila siku tunaonyesha wateja. Karibu sana kwa maelezo zaidi piga/whatsaap 0711677199/0744847199

Pesambili Properties Limited
pesambili_properties_ltd
Pesambili Properties Limited

Similar items by location

Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 200,000,000

HOUSE FOR SALE 🇹🇿BEI MILIONI 200MAHALI: KIGAMBONI KIBADA DSM🇹🇿 📱0675169664📱0687738194👉NYUMBA ...

Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 200,000,000

HOUSE FOR SALE 🇹🇿BEI MILIONI 200MAHALI: KIGAMBONI KIBADA DSM🇹🇿 📱0675169664📱0687738194👉NYUMBA ...

Kiwanja kinauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 56,000,000

KIWANJA KINAUZWA 🇹🇿BEI MILIONI 56MAHALI: KIGAMBONI GEZA ULOLE 🇹🇿 📱0675169664📱0687738194👉KIWAN...

Kiwanja kinauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 56,000,000

KIWANJA KINAUZWA 🇹🇿BEI MILIONI 56MAHALI: KIGAMBONI GEZA ULOLE 🇹🇿 📱0675169664📱0687738194👉KIWAN...

Kiwanja kinauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 42,000,000

KIWANJA KINAUZWA 🇹🇿BEI MILIONI 42MAHALI: KIGAMBONI GEZA ULOLE 🇹🇿 📱0675169664📱0687738194👉KIWAN...

Kiwanja kinauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 42,000,000

KIWANJA KINAUZWA 🇹🇿BEI MILIONI 42MAHALI: KIGAMBONI GEZA ULOLE 🇹🇿 📱0675169664📱0687738194👉KIWAN...

Nyumba inapangishwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 20,000

MASTER ROOM&JIKO📍Kigamboni-Darajani(Soweto)💰130,000X4 Na Mwezi Mmoja wa Dalali✅Nyumba Mpya✅Umeme m...

Nyumba inapangishwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 20,000

🏡 CHUMBA MASTER,SEBULE & JIKO📍 KIGAMBONI-DARAJANI 💰400,000/=TZS (Mwezi mmoja kwa dalali) 🔥Detail...

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 35,000,000

#HOUSE FOR SALE #NYUMBA INAUZWA BEI POA •HOUSE FOR SALE NYUMBA INAUZWA*slide kushoto kwa picha zaidi...

Frame inauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 95,000,000

Nyumba Inauzwa TSH95M Ipo kigamboni twangomaVyumba vitatu kimoja ni masterIna Fremu Saba za biashara...