Nyumba inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam
![media -1 media -1](/_next/image?url=https%3A%2F%2Fmakazimapya.s3.amazonaws.com%2Fpublic%2Fads%2Fimages%2F2f5288db-42a6-47d1-967b-8a22d7ac6830.jpg&w=3840&q=75)
![media -1 media -1](/_next/image?url=https%3A%2F%2Fmakazimapya.s3.amazonaws.com%2Fpublic%2Fads%2Fimages%2F2f5288db-42a6-47d1-967b-8a22d7ac6830.jpg&w=256&q=75)
APARTMENT NZURI SANA INAPANGISHWA KIMARA MWISHO#400k
===
Vyumba 3 vya kulala kimojawapo master bedroom sebule kubwa dining jiko na public toilet
====
Bei:400,000 Kwa mwezi × 6 ( Malipo miezi 6)
====
Umbali km 1.2 Bajaji zipo na bodaboda 1000 kulia kama unaenda mbezi
===
Apartments zipo 2 kila apartment inajitegemea umeme na maji yanaflow chooni na jikon
====
Ndani ya fence parking #hakuna Ila gari inafika mpaka mlangoni
===
Kupelekwa kuona nyumba elfu 15 itadumu mpaka upate bila kuchajiwa tena
0710614924
0688653940