Nyumba inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam


Apartment Ya Kifamilia Inapangishwa
Mahali: Mbezi Beach Massana
Bei: 2,000,000 Kwa Mwezi
Malipo: Miezi 2
☑️Karibu Sana Na Lami
☑️Vyumba Vitatu, Viwili Ni Master
☑️Sebule
☑️Dining
☑️Jiko Zuei Lenye Makabati
☑️Bafu Na Choo Ndani
☑️Fensi
☑️Parking
☑️Inajitegemea Umeme Na Maji
☑️Balcony View
☑️Full Paving Blocks
☑️Reserve Tank
☑️Dawasa Maji 24/7
Gharama Ya Kuoneshwa Ni 20,000/= (Inalipwa Maramoja Na Itadumu Mpaka Upate)
Bila Kusahau Malipo Ya Mwezi Mmoja Wa dalalimaster_tz
Whatsapp: 0764486945
Call: 0682699988
Viwanja Na Ofisi Zinapatikana Kwa Size Zote. Karibuni Sana Wateja Wangu🙏
#DalaliMasterTz #MasterMijengo