Nyumba inauzwa Msongola, Dar Es Salaam







NYUMBA YENYE VYUNBA 4,TSHS.40 MILIONI,MSONGOLA.
Vyumba vya kulala 4(( masta 1)
Pia kuna Sebule, Jiko,Dining-room, Store na Choo cha Familia ndani.
Hapa kufika Mjini jnapanda Daladala moja tu.
Na ni jirani na Kituo.
________________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255714591548
________________mskv