Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Goba, Dar Es Salaam


#CHUMBA_MASTA_SEBULE_NA_JIKO 
💧Location :: GOBA NJIA NNE
💧Bei ::350,000 Kwa Mwezi
KOD MIEZI 6
 
Muundo wa Nyumba;
📍Chumba kimoja ambacho ni Masta
📍Sebule 
📍Jiko
📍Fence 
📍Feni 
📍Umeme wako 
Wasiliana nasi Kwa Maelezo zaidi kupitia
dalalimbezibeach_salasala 
Call/whatsp 
0692406639



















