Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Ubungo, Dar Es Salaam


🇹🇿 #STUDIO_APARTMENT #MPYAA #INAPANGISHWA
➖➖➖➖➖
📍Ubungo Maji, Dakika 2 kutembea Kutoka Morogoro Main Road
#SIFAZAKE
Chumba Kimoja Master & Jiko zuri
Umeme Luku shared & Maji dawasa yanaflow ndani
Parking ipo
Kodi Tsh 150,000/=×6(Miezi Sita)
Malipo ya Dalali Tsh 150,000/=
Service Charge Tsh 15, 000/=
📌Nyumba Iko kwenye finishing, Kuiona na kulipia Ruksa
______________
#Piga_simu 👇
,
#0688573777. 📞&Whatsapp
,
#please #Follow us🙏
Karibu Sana Mteja😊