Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Goba, Dar Es Salaam







NYUMBA YAKUMALIZIA UJENZI, VYUMBA 4, TSHS.35 MILIONI,GOBA MPAKANI.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 400.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Ni nyumba ya kisasa (CONTEMPORARY design)
Vyumba 4 ( 2 vyoo ndani)
Pia kuna Sebule,Jiko,Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.
________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
+255714591548
_________mpg
Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.