Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kibaha, Pwani
NYUMBA YA VYUMBA VINNE (4) KIWANJA SQM.4,450,TSHS.230 MILIONI KIBAHA.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM.4,450.
Nyumba imezunguushiwa Ukuta yote,
Na ipo umbali wa kilomita 1.5 kutoka Barabara ya Morogoro.
Vyumba 4 ( 2 vyoo ndani)
Pia kuna Sebule,Jiko,Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.
Pia kuna Mabanda Matatu.
___________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
+255714591548
___________mpg
Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.