Nyumba ya vyumba vitano inapangishwa Goba, Dar Es Salaam


🏡 NYUMBA YA KISASA YENYE VYUMBA 5 INAPANGISHWA – STAND ALONE
📍 Eneo: Goba Lastanza (Karibu na Lami), Dar es Salaam
💰 Kodi: TSh 2,200,000 kwa mwezi
🗓 Malipo: Kuanzia miezi 6
🏠 Aina: Inajitegemea (Stand Alone) kwenye fensi yake
🧍♂️ Imeambatana na: Chumba cha mfanyakazi (Servant Quarter)
---
📋 MAELEZO YA NYUMBA:
Vyumba 5 vya kulala
Vyumba 2 ni Master Bedroom (vikiwa na AC)
Sebule 2
Jiko la kisasa
Dining
Vyoo na mabafu ya ndani (public)
---
✨ Vifaa & Huduma:
Gypsum Ceiling
Tiles za kisasa
Madirisha ya slides
Umeme wa LUKU
Maji ya bomba masaa 24
Garden nzuri
Eneo la maegesho ya magari (paving blocks)
Nyumba iko kwenye fensi
---
Kwa maelezo zaidi au kutembelea nyumba:
📞 Wasiliana: #0689138795whatsapp
#0758998074👈