Nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa Mbagala, Dar Es Salaam


Nyumba inapangishwa bei laki 3 kwa mwezi kodi kuanzia miezi 3 nakuendelea. Nyumba IPO mbagala chamazi njia panda machimbo shule location kwadumba. Nyumba ni mpya kabisa haijakaliwa na mtu yeyote yule, ina rooms 3 vyakulala sitting room, dinning room, jiko, room moja ni master bedroom, public toilet ipo, tiliz, madilisha vioo, umeme unajitegemea luku yk pamoja na maji pia mita yk ni stand alone house na fensi ya parking ipo pia. Kwa mawasiliano zaidi pga namba 0688559385 au pga namba 071925 0426.