Nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa Sinza, Dar Es Salaam


Nyumba Inapangishwa
Mahali: Sinza Mugabe
Bei: 400,000 Kwa Mwezi
Malipo: Miezi 6
☑️Kubwa Ya Kifamilia
☑️Vyumba 3, Kimoja Ni Master
☑️Sebule, Jiko & Choo
☑️Inajitegemea Umeme Na Maji
☑️Reserve Tank
☑️Dawasa Maji 24/7
Ukilipia, Vitu Vinatolewa Muda Wowote
Gharama Ya Kuoneshwa Ni 30,000/= (Inalipwa Maramoja Na Itadumu Mpaka Upate)
Bila Kusahau Malipo Ya Mwezi Mmoja Wa dalalimastertz
Whatsapp: 0764486945
Call: 0682699988 / 0622651649
Viwanja Na Ofisi Vinapatikana Kwa Size Zote. Karibuni Sana Wateja Wangu🙏
#DalaliMasterTz #MasterMijengo