Nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa Ubungo, Dar Es Salaam







NYUMBA NZURI YA KUPANGISHA
Location: external ubungo
Umbali dakika 3 kwa mguu gari ya chini barabara rafiki sana
SIFA ZAKE
-vyumba vitatu vya kulala
- Sebule jiko na choo ndani kimoja master
-
Umeme LUKU inajitegemea na Maji DAWASA Yanaflow Ndani
Nyumba inashea watatu ndani ya fence
Panking kubwa
KODI Tsh. 550,000/= Kwa mwezi mmoja, Malipo miezi 6
Service Charge 15,000/=
MALIPO YA DALALI NI MWEZI MMOJA
Kwa maelezo zaidi piga :--
0712528820
0685221354
Mr.