Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Goba, Dar Es Salaam







NYUMBA YA VYUMBA VITATU (3) TSHS.75 MILIONI, GOBA MUUNGANO.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 500.
KIMEPIMWA (HATI HAIJATOKA BADO)
Imejengwa kisasa na ipo ndani ya Fensi yake.
Vyumba vya kulala 3 ( Masta 1) Pia kuna Sebule,Jiko,Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.
___________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
+255714591548
____________mpg
Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.