Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kibaha, Pwani

 media -1
media -1
Sh. 1,500,000,000

*Eneo lililojengwa kwa matumizi ya kiwanda linauzwa Kibaha-Visiga*

*Umbali* Kutoka Morogoro hadi eneo ni Mita 900

*Location* Barabara ya Zegeleni

-Eneo lina majengo 3 ya Godown yenye ukubwa wa Sqm 2440.

-Eneo lina ofisi 5 ambazo hazijakamilika kwa nje ya uzio na ndani ofisi iliyokamilika ya vyumba 2.

-Eneo lina Apartment yenye vyumba 3 vya kulala vyote master bedrooms, sitting, jiko na veranda kubwa.

*Umeme* Eneo lina Umeme wa 3Phase na Single Phase.

-Eneo lina matanki mawili ya maji yenye lita 5000 kila moja.

-Eneo lina CCTV Camera kwa ajili ya ulinzi.

-4 Chumba cha kubadilishia nguo ambacho hakijakamilika kwa wanaume na wanawake pamoja na vyoo vyake 4.

-Ukubwa wa kiwanja 6,134 sqm

*Matumizi* Service Trade

-Documemt: Hati miliki

*Bei ya shilingi bilioni 1.5 maongezi kidogo yapo*

*NOTE*

Pembeni kuna Sqm 2000 za mtu mwingine unaweza kuongeza eneo likatimia Sqm 8000 ambazo sawa na Ekari 2

Contact
0625584914

GM REAL ESTATE AGENT TANZANIA
dalali_mbezi_beach_godfrey1
GM REAL ESTATE AGENT TANZANIA

Similar items by location

Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Kibaha, Pwani

Sh. 300,000

NYUMBA ZA KISASA MPYA KABISA ZINAPANGISHWA KIBAHA MAILI MOJAKODI 300K X4,5,6#VYUMBA VIWILI VYA KULA...

Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Kibaha, Pwani

Sh. 300,000

NYUMBA ZA KISASA MPYA KABISA ZINAPANGISHWA KIBAHA MAILI MOJAKODI 300K X4,5,6#VYUMBA VIWILI VYA KULA...

Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kibaha, Pwani

Sh. 30,000,000

♦️PAGALE LA KISASA LINAUZWA👉MAHALI: KIBAHA KWA MATHIAS 👉 NYUMBA INAVYUMBA VINNE VYOTE NI MASTER BE...

Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kibaha, Pwani

Sh. 30,000,000

♦️PAGALE LA KISASA LINAUZWA👉MAHALI: KIBAHA KWA MATHIAS 👉 NYUMBA INAVYUMBA VINNE VYOTE NI MASTER BE...

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kibaha, Pwani

Sh. 50,000

NYUMBA YA KISASA, ROOM 3, TSHS. 88 MILIONI,KIBAHA KONGOWE.Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 1,200.Umiliki ...

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kibaha, Pwani

Sh. 50,000

NYUMBA YA KISASA, ROOM 3, TSHS. 88 MILIONI,KIBAHA KONGOWE.Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 1,200.Umiliki ...

Viwanja vinauzwa Kibaha, Pwani
  • By Installment
  • Project

Sh. 3,200,000

KIBAHA BOKOMNEMELAViwanja Vilivyopimwa Vipo SokoniKm8 Toka Morogoro RoadKm1.5 Toka Bokomnemela cente...

Viwanja vinauzwa Kibaha, Pwani
  • By Installment
  • Project

Sh. 3,200,000

KIBAHA BOKOMNEMELAViwanja Vilivyopimwa Vipo SokoniKm8 Toka Morogoro RoadKm1.5 Toka Bokomnemela cente...

Viwanja vinauzwa Kibaha, Pwani
  • By Installment
  • Project

Sh. 3,200,000

KIBAHA BOKOMNEMELAViwanja Vilivyopimwa Vipo SokoniKm8 Toka Morogoro RoadKm1.5 Toka Bokomnemela cente...

Kiwanja kinauzwa Kibaha, Pwani

Sh. 300,000,000

NUNUA KIWANJA NA UJENGE NA KAMPUNI YA PERFECT PROPERTYKibaha, Visiga MadafuNUNUA KIWANJA NA UANZE KU...