Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kivule, Dar Es Salaam


SASA NJOO NA TSHS.50 MILIONI TU, KIVULE-FREMU-KUMI.
Hii ni nyumba Mpya YAKUHAMIA.
Nyumba ya kisasa ndani ya Fensi.
Vyumba 3 (Masta 1)
Sebule, Jiko na Choo cha Familia ndani.
IKIBIDI BEBA NA UJE NA PESA YAKO KABISA VINGINEVYO UTAJUTA KUIKOSA.
_____________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
_____________mskv