Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kivule, Dar Es Salaam


NYUMBA YAKUMALIZIA UJENZI, VYUMBA 3, TSHS.35 MILIONI, KIVULE CCM.
Hapa unapanda Daladala moja tu kufika Mjini.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 300
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Imejengwa kisasa.
Vyumba 3 (Masta 1)
Pia kuna Sebule,Jiko,Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.
Ina:
●Shimo la Choo,
●Tiles,
●Blanda ya Dari.
_______________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
+255714591548
_______________mkv
Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.