Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kivule, Dar Es Salaam


NYUMBA-2 KWENYE KIWANJA KIMOJA, TSHS.38 MILIONI, KIVULE/MNARANI.
Hizi nyumba zipo ndani ya Fensi na Geti safi.
Kubwa:
Ina vyumba 3 (Masta 1) Sebule,
Jiko na Choo cha Familia ndani.
Ndogo: Ina Chumba, Sebule na Choonnsani.
Huduma za Umeme na Maji zipo.
_________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
+255714591548
_________mskv
Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.