Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Majohe, Dar Es Salaam


NYUMBA YENYE VYUMBA 3, TSHS.60 MILIONI,
MAJOHE KWA-WARIOBA.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 960.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Pamoja na nyumba kubwa,
Pia ipo nyumba ndogo yenye Chumba kimoja.
Nyumba kubwa Ina vyumba 3 ( Masta 1)
Pia Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.
Kuna Kisima na nj jirani na Kituo cha Daladala.
_____________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuina ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
____________mskv