Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mbezi, Dar Es Salaam


π‘ NYUMBA INAUZWA β MBEZI MAKABE, DAR ES SALAAM πΉπΏ
β
Ina hati halali ya Wizara π
β
Vyumba 3 vya kulala (1 master)
β
Sebule kubwa, dining, jiko, stoo & public toilet
β
Makabati vyumbani na jikoni
β
Eneo kubwa Sqm 730 (kwenye hati)
β
Mita 400 tu kutoka barabara kuu (inawekewa lami)
β
Inafikika kirahisi hata gari ya chini π
β
Maji yapo π§
β
Kuna mpangaji (inafaa kwa uwekezaji) πΌ
π° Bei: Milioni 100
π Kwa maelezo zaidi piga: +255688412890
π² dalaliwakishua
β¨ βMiliki Kesho Yako Leo!β
π Karibu sana ndugu mteja



















