Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Msingi, Singida


NAUZA NYUMBA (PAGARA)
📍 Ipo Unyinga – Singida, karibu na Shule ya Msingi Unyinga
🏠 Maelezo ya Nyumba:
Vyumba 3 vya kulala (kimoja Master)
Sebule
Dining
Jiko
📐 Ukubwa wa Kiwanja: SQM 1000 (25 × 40)
💧 Kisima kilishachimbwa
⚡ Umeme na maji ya kuvuta
📄 Ina Hati Halali
💰 Bei: TSh 14,000,000
📞 Mawasiliano: 0658128485
#nyumbainauzwa_singida #singida #unyinga_singida #dalalisingida #realestateTanzania_singida



















