Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Salama, Mara


💥 NYUMBA MPYA YA KISASA INAUZWA - TEGETA MADALE 💥
Unatafuta nyumba ya kuhamia mara moja? Hii hapa! 👇
Nyumba nzuri ya kisasa inauzwa eneo la Tegeta Madale, katika mtaa tulivu na salama sana.
✅ Vyumba 3 vya kulala (master bedroom self-contained)
✅ Servant quarter safi kabisa
✅ Vyote vipo ndani ya uzio (fence) kwa usalama
✅ Kiwanja kimepimwa - sqm 1000
✅ Hati miliki ipo tayari (title deed)
✅ Bei Milioni 450 TSH tu
📞 Piga/WhatsApp: 0742 892 195
💯 Umiliki nyumba yako leo kwa bei nafuu ukilinganisha na thamani ya eneo!
🏡 Nyumba hii ni mpya kabisa - huna cha kukarabati!
#NyumbaInauzwa #TegetaMadale #RealEstateTanzania #NyumbaMpya #HouseForSaleTanzania #PropertiesDar #TitleDeed #ServantQuarter #KiwanjaKimepimwa #DarEsSalaamHomes #BuyHouseTZ #AffordableHomesTZ