Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam


APARTMENT ZINA PANGISHWA MBEZI NYUMA YA STEND YA MKOWA KM1.5 KUTOKA STEND YA MKOWA.
----------
Vyumba 2 vya kulala hakuna master bedroom
Seble kubwa
Jiko
Public toilet
Slide window
Luku yako
Tiles
Gypsum
Ndani ya fence
Parking space kubwa sana
------------.
Service Charge 15,000/=
Kodi 250,000/=×6
-------------
Malipo ya dalali ya mwezi mmoja ambayo ni laki 2.5
--------------
Contact
📞#0676_218580 (WhatsApp)
📞#0693__673010
#dalali_big_kimara🇹🇿
#KIUMBE_REAL_ESTATE_AGENT🇹🇿
EPUKA MATAPELI FANYA KAZI NA MADALALI WENYE OFFICE NA WALIYO SAJILIWA 🙏