Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Sinza, Dar Es Salaam


🇹🇿Nyumba Nzuri Inapangishwa
Mahali: Sinza
Bei: 600,000 Kwa Mwezi
Malipo: Miezi 6
Inafaa Kuishi/Ofidi
☑️Zipo 3 Kwenye Compound
☑️Vyumba 2, Kimoja Ni Master
☑️Sebule Jiko & Choo (Nje)
☑️Fensi & Parking
☑️Umeme Mita Yako
☑️Reserve Tank & Dawasa Maji 24/7
Gharama Ya Kuoneshwa Ni 30,000/= (Inalipwa Maramoja Na Itadumu Mpaka Upate)
Bila Kusahau Malipo Ya Mwezi Mmoja Wa dalalipeter
For More Informations
0688 067 289 📞
0714 418 005 WhatsApp