Nyumba/Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Goba, Dar Es Salaam


...
Apartment Inapangishwa:
(Zipo NNE Tu Kwenye fensi)
Location :: GOBA CENTRE
Bei yake :: 380,000Tsh kwa mwezi (Miezi 6)
Muundo wa nyumba;
🌡️Chumba Kimoja ambacho ni Masta)
🌡️Sebule kubwa
🌡️Jiko kubwa sana
🌡️Choo cha wageni
🌡️Fans &
🌡️Paving Blocks
🌡️Fence kwenda kukagua nyumba tunachaji
20000 na ukilipia nyumba dalali kodi mwezi mmoja
CONTACT
O747196597 WhatsApp
0718618508
0696288247