Nyumba/Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam


๐น๐ฟ #APARTMENT #INAPANGISHWA
โโโโโ
๐Kimara korogwe dakika 10-15 kwa mguu kutoka stand ya mwendo kasi usafili boda 1000
#SIFAZAKE
๐นChumba Kimoja Master
๐นSebule
๐นbaraza yako
๐นUmeme LUKU wana share 3 kila mmoja ana sumiter yake
๐นFenced amna ila mazingira mazuri sana Car Parking ipo kubwa sana
๐ ipo wazi kabisa
๐ถKodi Tsh 190, 000/=ร3,4,5,6
๐ถAU 180,000 Miezi 6
๐ถMalipo ya Dalali Tsh 190, 000/=
๐ถService Charge Tsh 15, 000/=
______________
#Piga_simu
0627977383
#Follow us๐
Karibu Sana Mteja๐