Nyumba/Apartment ya vyumba vitatu inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam







🇹🇿# APARTMENT #INAPANGISHWA
📍Kimara Baruti
⏰Umbali wa kutoka stand ya mwendo kasi dakika 5_6 kwa mguu haina haja ya kupanda bodaboda
#SIFAZAKE
🔹Vyumba Vitatu , Kimoja Master
🔹Sebule kubwa
🔹Jiko & Danning
🔹Public Toilet
🔹Umeme & Maji #Inajitegemea
🔹Fenced & parking Car
👉Zipo 2 Tu kwenye fance moja na hii moja ipo wazi kwa kuhamia
🔸Kodi Tsh 500, 000/=x6(Miezi Sita)
🔸Malipo ya Dalali roony Tsh 500,000/=
🔸Service Charge Tsh 15,000/=
#Piga_simu👇
O627977383
&Whatsapp
#Follow usWhatsapp