Nyumba/Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Goba, Dar Es Salaam


Apartment Inapangishwa: Ina A/c
(Zipo Mbili Tu kwenye fensi)
Location :: Goba Tegeta A street
Bei yake :: 350,000Tsh kwa mwezi (Miezi 6)
Muundo wa nyumba;
🌡️Vyumba viwili (kimoja ni Masta)
🌡️Sebule kubwa
🌡️Jiko lenye makabati
🌡️Choo cha wageni
🌡️Fans
🌡️Paving Blocks
🌡️Fence
🌡️Electric Fence
KUNA A/C CHUMBANI
Call/Whatsapp;
0782428327