Kiwanja kinauzwa Kibaha, Pwani


Kibaha Kwa Mathias!
Unaona site ilivyokuwa safi?? Hapa bwana ni mita 400 toka kwenye Lami na km2 toka Morogoro Road.
Bei Kwa Mraba ni shilingi 18,000/= sawa na shilingi 7,200,000/= Kwa Kiwanja chenye ukubwa wa MITA za Mraba 400(m²)
Unaweza kulipa kidogo kidogo ndani ya Miezi Minne Tu.
Mawasiliano
0758 76 4040