Kiwanja kinauzwa Madale, Dar Es Salaam


*SHULE NZURI YA KISASA INAUZWA BINAFSI*
BEI MILIONI 700
IPO MADALE DAR ES SALAAM TANZANIA
mita chache tu kutoka madale road
SIFA:
Shule ina madarasa 12 ikiwemo ofisi kumbi mbili za kulia chakula wanafunzi jiko la kupikia
Shule ina Ghorofa moja yenye madarasa sita yote ni self yani yana vyoo ndani
SHULE ina nyumba ya vyumba viwili maalumu kwajili ya mwalimu au mwalimu mkuu wa shule
SHULE ina vyoo vya vizuri sana kama unavyoona kwenye picha
SHULE inavyoo maalumu ambavyo hutumika na wanafunzi wenye mahitaji maalumu
SHULE ina Eneo la michezo kwajili ya watoto pamoja swimming 🏊♂️ pool ya kuogelea
SHULE ina umeme maji safi dawasco na vyumba vimeweka mfumo wa maji pamoja vyoo vyake
SHULE :Ipo mtaa mzuri sana ulio jengeka vyema sana barabara safi inayopitika muda wote kiangazi na masika
Eneo lote linazunguka shule limezungshiwa ukuta.
Plot size Sqmt 2500
Document; Clean TITLE DEED (Hati miliki kutoka wizara ya aridhi)
*Bei shilingi milioni 700 Mteja karibu kwa mazungumzo ya biashara*
Service charge elf 30
Tupigie +255-658-582-977
Kujiunga na group letu la Whatsapp bonyeza hapa👇https://chat.whatsapp.com/BLDVlGxAuXH2z2p5y9u9fq
everyone