Kiwanja kinauzwa Mbezi, Dar Es Salaam


Kiwanja Kinauzwa kipo mbezi Makonde 
Ukubwa ni Sqmt 1870 
Bei ni Milioni 150 #Maongezi yapo 
Nyumba ni 2 bedroom dinning kubwa na sitting room, public toilet, bathroom na kitchen
Kiwanja kina Hati Miliki kutoka Wizarani [#Titledeed ]
Service charge ni 30,000/-
#0652472014 
#0754344786




















