Viwanja vinauzwa Kibaha, Pwani

 media -1
media -1
Sh. 1,500,000
Project
Yes

Viwanja vilivyopimwa Vinauzwa Kibaha Kwa Mathias! Viwanja vipo mita 900 Toka Lami inayojengwa ( Msangani Road)

Viwanja katikati ya Makazi,Maji yapo na umeme! Site imechongwa barabara vizuri,imependeza sana! Kuna miti ya Matunda kama vile miembe,Michungwa na miti ya mikorosho!

Kila mteja atakayenunua Kiwanja ni full Guarantee kwamba lazima ajipatie miti kadhaa ya matunda kuanzia miwili Hati mitano ambayo IPO full matured kuzaa matunda katika msimu wake.

Bei Kwa wateja wanaolipa Cash: 12,500/=
Bei Kwa mteja anayelipa kidogo kidogo 14,000/= na utaratibu wake wa Malipo ni Miezi Sita

Kianzio: 1,500,000/=

Unatembea Lami Kwa Lami! Rough Road utakuwa unatembea 900meters tu! Yani kiufupi ni mahali panafaa kuishi bila stress! Njoo ujenge mji wako mzuri huku Kibaha Kwa Mathias,uishi kama mwamba!

Cananland tunakupa Raha,hatuna Kona-kona! Ni mwendo wa kunyoooka tu! Tunahakikisha tunakupa thamani ya Pesa yako

Mawasiliano
0763 172 814
0659 972868

Office: Kiluvya Madukani.

Cananland Marketing Solutions
dar_kubwa_remmysbrand
Cananland Marketing Solutions

Similar items by location

Nyumba inapangishwa Kibaha, Pwani
  • By Installment

Sh. 6,600,000

KIBAHA BOKOMNEMELA-3Km7 Morogoro RoadMita900 Toka StandDaladala Zipo Tokea Mbezi, Nauli 2000Maji Daw...

Viwanja vinauzwa Kibaha, Pwani
  • Project

Sh. 4,000,000

New project kibaha kwa mathis na kwa mfipaBei mil 4 tuuNjoo na nusu ya pesa umiliki kiwanja klm 4 to...

Viwanja vinauzwa Kibaha, Pwani
  • Project

Sh. 130,000,000

PLOT NZURI KIBIASHARA INATAZAMA BARABARA KUU YA MOROGORO INAUZWAUkubwa-sqm 1200 (Ukubwa huu ni makad...

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kibaha, Pwani
  • Project

Sh. 45,000,000

HII NYUMBA SASA IMESHUKA BEI, WAHI TUWAHI BOSS..BEI INATAKA 45M TU. MAONGEZI KIDOGO SANA.INA VYUMBA ...

Kiwanja kinauzwa Kibaha, Pwani

Sh. 150,000,000

Kiwanja kinauzwa kiwanja kipo mkoa wa pwani kwa mathiasKiwanja kina mafrem na vijumba kazaa HAPO nda...

Nyumba inapangishwa Kibaha, Pwani

Sh. 50,000

NYUMBA YA BIASHARA NA MAKAZI, TSHS.70 MIL.WAHI KIBAHA KWAMATHIAS.Vyumba vya kulala vipo 11 (Kila Chu...

Nyumba inapangishwa Kibaha, Pwani
  • Project

Sh. 70,000,000

HII SASA NI EMBE DODO CHINI YA MPERA🤗🤗 FREM SITA VYUMBA KUMI NA MOJA VYOTE MASTER NA VYOTE VINAWAP...

Viwanja vinauzwa Kibaha, Pwani
  • Project

Sh. 8,000 per sqm

MRADI MPYA - KIBAHA VISIGA 📞📞 0767053517◻️Umbali ni km 1 toka Barabara ya lami (MOROGORO ROAD)◻️ U...

Viwanja vinauzwa Kibaha, Pwani
  • Project

Sh. 8,000 per sqm

MRADI MPYA - KIBAHA VISIGA 📞📞 0767053517◻️Umbali ni km 1 toka Barabara ya lami (MOROGORO ROAD)◻️ U...

Kiwanja kinauzwa Kibaha, Pwani

Sh. 300,000,000

NUNUA KIWANJA NA UJENGE NA KAMPUNI YA PERFECT PROPERTY✅Kibaha, Visiga MadafuNUNUA KIWANJA NA UANZE K...

Viwanja vinauzwa Kibaha, Pwani
  • By Installment
  • Project

Sh. 4,000,000

MRADI MPYA WA VIWANJA KIBAHA KWA MATHIAS.==========✍️ BEI ZA VIWANJA NI KAMA IFUATAVYO:• 20*20 NI TS...

Viwanja vinauzwa Kibaha, Pwani
  • By Installment
  • Project

Sh. 3,000,000

📍KIBAHA KWA MATHIASKARIBU UPATE HUDUMA NZURI KABISA YA VIWANJA÷HAPA UTAPATA HUDUMA YA KULIPA KIDOGO...

Viwanja vinauzwa Kibaha, Pwani
  • Project

Sh. 30,000

Viwanja kibaha Umbali km 2 TuBei sqm moja 300000785440293 / 0654976469

Kiwanja kinauzwa Kibaha, Pwani

Sh. 30,000

Kibaha mjiniUmbali km 2 TuBei sqm moja 30000 Tu0785440293

Viwanja vinauzwa Kibaha, Pwani
  • Project

Sh. 8,000 per sqm

MRADI MPYA - KIBAHA VISIGA 📞📞 0767053517◻️Umbali ni km 1 toka Barabara ya lami (MOROGORO ROAD)◻️ U...

Viwanja vinauzwa Kibaha, Pwani
  • Project

Sh. 8,000 per sqm

MRADI MPYA - KIBAHA VISIGA 📞📞 0767053517◻️Umbali ni km 1 toka Barabara ya lami (MOROGORO ROAD)◻️ U...

Kiwanja kinauzwa Kibaha, Pwani

Sh. 75,000,000

JENGO LA RESTAURANT LINAUZWAENEO HILI NI KUBWA KAMA UKILIVUNIA NA KUAMUA KUJENGA FREMU UNAWEZA KUTOA...

Kiwanja kinauzwa Kibaha, Pwani

Sh. 20,000

PLOT NZURI SANA INAUZWAMAHALI KIBAHA MAILIMOJA PLOT SIZE SQM 2618BEI 55MILLION SITE VISIT 20000 ☎️

Nyumba ya chumba kimoja inauzwa Kibaha, Pwani

Sh. 63,000,000

MAHAL KIBAHA: #PICHA_YA_NDEGEUMBAL DK 10 KUTOKA KITUO CHA DALADALAKIWANJA KIMEPIMWAUKUBWA WA KIWANJA...

Nyumba ya chumba kimoja inauzwa Kibaha, Pwani

Sh. 63,000,000

MAHAL KIBAHA: #PICHA_YA_NDEGEUMBAL DK 10 KUTOKA KITUO CHA DALADALAKIWANJA KIMEPIMWAUKUBWA WA KIWANJA...