Viwanja vinauzwa Kibamba, Dar Es Salaam


KARIBU TUKUHUDUMIEš„
MIRADI YETUš
ā
KIBAMBA SHULE UNAPATA KIWANJA BEI YA sqm moja 22,000 cash na 25,000 installment kuanzia sqm 400 na kuendelea
UNAPATA KIWANJA (20 kwa 20) KUANZIA 8,800,000
Umbali toka lami ya kibwegere road km 3
Kwa pikipiki nauli 3,000 hadi site
Unaweza ukalipa yote cash au ukaanza na nusu nyingine ukalipa kidogo kidogo ndani ya miezi sita
ā
BAGAMOYO KEREGE sqm moja 25,000 cash na 27,000 installment kuanzia sqm 550 na kuendelea
(HAPA KEREGE kuanzia 25 kwa 22 ni 13,750,000 na kuendelea)
Unaweza ukalipa yote cash au ukaanza na nusu nyingine ukalipa kidogo kidogo ndani ya miezi sita
ā
KIBAHA VISIGA MADAFU UNAPATA KIWANJA sqm moja 8,000 cash na 12,000 installment kuanzia sqm 440 na kuendelea
(UNAPATA KIWANJA KUANZIA 3,520,000 na kuendelea
Unapata kiwanja na miti ya matunda
Kutoka lami ya Morogoro road ni km 1 tu, na Kutoka lami ya zegeleni ni mita 300 tu
Unaweza ukalipa yote cash au ukaanza na nusu nyingine ukalipa kidogo kidogo ndani ya miezi sita
ā
KIGAMBONI KIMBIJI PUNA sqm moja 9,500 cash na 12,000 installment kuanzia sqm 522 na kuendelea
( Hapa puna viwanja vinaanzia 6,300,000 na kuendelea)
Unaweza ukalipa yote cash au ukaanza na 500,000 LAKI TANO alafu nyingine ukalipa kidogo kidogo ndani ya miezi 18)
ā
KIGAMBONI KISARAWE 2 VUMILIA UKOONI sqm moja 18,000 cash na 20,000 installment kuanzia sqm 384 na kuendelea
( Hapa unaweza ukalipa yote cash au installment unaanza na nusu ya bei nyingine ndani ya miezi sita)
ā
KIGAMBONI RAS BAMBA BEACH sqm 40,000 cash na 45,000 installment kuanzia sqm 925 na kuendelea
umbali hadi beach mita 200
unaweza kulipa cash au ukaanza na nusu nyingine ndani ya miezi 6
Ofisi zetu zinapatikana:
Mwenge Bamaga,
jengo la Dora tower
floor ya nne
Tupigie/whatsapp: 0626783900




















