Viwanja vinauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
Sh. 1,300,000
Project
Yes

BEI NI MILION MOJA NA LAKI TATU TU (1,300,000/=) Unamiliki Kiwanja chako DAR ES SALAAM, wilaya KIGAMBONI Kata ya KIMBIJI, Mtaa wa Kwa Moris. 0711677199/0744847199.

🤔Kwanini ununue viwanja maporini Kwa bei kubwa wakati kwetu KIGAMBONI ndani ya Mkoa wa DAR ES SALAAM utapata Kwa bei ya Milion 1.3 Tu. Sehemu ambayo ina Umeme tayari, Majirani wenye nyumba za kisasa, Maji ya DAWASA.

➡️ Viwanja ni vizuri sana, ni Viko Tambarale, na tayari Kuna majirani wa kutosha na sio mbali na barabara ya Mji Mwema-Buyuni.

➡️ UMEME umepita mbele ya mradi, Maji yapo, Eneo lipo karibu na huduma za kijamii mfano Shule , hospital, n.k

👉 Umbali ni Km 35 kutoka kigamboni ferry mpaka Site na Mita 500 kutoka Barabara kubwa ya Kimbiji-Ferry, na Km 1.5 toka BAHARINI.
____________________________
👉 BEI YAKE SASA NI =Tsh 1,300,000 TU. Kwa kiwanja chenye ukubwa wa Futi 50 X 40. Unaweza kuunganisha viwanja zaidi ya Viwili, vinne, sita, nane na kuendelea Kulingana na mahitaji Yako.
____________________________

USAFIRI WA KUTOKA FERRY HADI KIMBIJI KWA MORIS ni gari moja tu. Ukipanda gari za Buyuni unashukia Kwa Moris, kutoka hapo unaweza tembea au pikipiki 1000 maana sio mbali na barabara. Tunaonyesha viwanja Kila siku, piga simu Kwa maelezo ZAIDI 0711677199/0744847199.

🤝KARIBUNI SANA KIGAMBONI.

Khadja Pesambili | @pesambili properties limited
khadja_viwanja
Khadja Pesambili | @pesambili properties limited

Similar items by location

Nyumba inauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 160,000,000

Nyumba inauzwa kigamboni kisarawe inavyumba v4 ukubwa wakiwanja Sqm 120 bei million 160 nipigie 0686...

Kiwanja kinauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 2,506,867,059.03

KIGAMBONI MIKWAMBE HEKA 3 ZINAUZWA BEI; BILIONI 2.5 0686705903

Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 600,000

kodi laki 600,000 KIGAMBONINYUMBA INAPANGISHWA INA JITEGEMEA UMEME NA MAJI IPO. KIGAMBONI KISIWANI...

Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 600,000

KODI LAKI 600,000 KIGAMBONINYUMBA INAPANGISHWA INA JITEGEMEA UMEME NA MAJI IPO. KIGAMBONI KISIWANI...

Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 600,000

600,000 KIGAMBONI=========NYUMBA INAPANGISHWA INA JITEGEMEA UMEME NA MAJI IPO. KIGAMBONI KISIWANI ...

Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 600,000

kodi laki 600,000 KIGAMBONINYUMBA INAPANGISHWA INA JITEGEMEA UMEME NA MAJI IPO. KIGAMBONI KISIWANI...

Kiwanja kinauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 120,000,000

#PLOT FOR #SALE KIGAMBONI <> location kibada shangwe <> Ukubwa wa eneo SQM 1050✅HATI YA WIZALA◾️pric...

Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 150,000

NYUMBA ZINAPANGISHWA KIGAMBONI <> location kisiwani <> nyumba ina chumba kimoja master na jiko✅nyumb...

Kiwanja kinauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 1,500,000,000

#YARD FOR #SALE KIGAMBONI <> location kibada Kisalawe II<> ukubwa wa eneo ( HEKA 1 NA NUSU)✅HATI YA ...

Viwanja vinauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam
  • Project

Sh. 20,000

MRADI MPYA WA KIGAMBONI VUMILIA UKOONI -MWEMBEMDOGO 0767053517👉🏽Viwanja vimepimwa na vina bacon zi...

Nyumba inauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 85,000,000

HOUSE FOR SALE KIGAMBONI MWONGOZO __VYUMBA V3 VYAKULALA KIMOJA MASTER __SEBULE DINING JIKO PUBLIC TO...

Nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 500,000

🏡 NYUMBA INAPANGISHWA – Kigamboni Kibada 🏡✨ Vyumba 3 ( 1 Master – Self Contained)✨ Sebule kubwa Ye...

Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 500,000

🏡 NYUMBA INAPANGISHWA – Kigamboni Darajani 🏡✨ Vyumba 2 ( 1 Master – Self Contained)✨ Sebule kubwa ...

Nyumba/Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 300,000

NYUMBA ZINAPANGISHWA KIGAMBONI <> location kisiwani <> nyumba ina chumba kimoja master sebule na jik...

Kiwanja kinauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 165,000,000

#PLOT FOR #SALE KIGAMBONI <> location kibada shangwe <> Ukubwa wa eneo SQM 1365✅HATI YA WIZALA <> pr...

Nyumba/Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 500,000

NYUMBA ZINAPANGISHWA KIGAMBONI <> location darajani <> nyumba ina vyumba viwili kimoja Master sebule...

Kiwanja kinauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 27,000,000

KIWANJA KINAUZWA KIGAMBONI DEGEBEI;MILION 27UKUBWA;SQM 1000CALL 0742121038

Kiwanja kinauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 50,000,000

KIWANJA KINAUZWA KIGAMBONI CHEKABEI;MILION 50UKUBWA;HEKARI 1CALL 0742121038

Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 600,000

🏡 NYUMBA INAPANGISHWA – Kigamboni Darajani 🏡✨ Vyumba 2 ( 1 Master – Self Contained)✨ Sebule kubwa ...

Kiwanja kinauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 1,200,000,000

#PLOT FOR #SALE KIGAMBONI <> location kibada kisalawe II<> ukubwa wa eneo (HEKA TANO)✅HATI YA WIZALA...