Viwanja vinauzwa Mbezi, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
Sh. 3,500,000
Project
Yes

KAWAIDA YETU KUUZA ENEO LIKIWA SAFI NA MUONEKANO MZURI

ZINGA KANISANI.

NJIA KUELEKEA KANISA LA ROMA.

ENEO LIPO KATI YA KEREGE NA ZINGA TOWN BAGAMOYO

● Bei tunauza sqm 1 kwa 18,000Tsh na malipo ni kwa awamu mpaka miezi sita(6) yaani kiwanja cha ukubwa wa 20mita kwa 20mita unapata kwa 7milioni na hiyo unalipa kwa miezi sita tu.

Malipo utaanza na 3.5milioni tu, nyingine utalipa kwa awamu ya miezi sita(6).

Ukimaliza malipo utafutaji wa hatimiliki unaanza hapohapo bila kuchelewa.

● Hapa tumepima viwanja 50 tu na vyote tunaviuza viwanja vyenye ukubwa wa 20*20 mpaka 30*40 namaanisha 400sqm,500sqm,600sqm,700sqm,800sqm,900sqm mpaka 1200sqm vipo kwa hiyo utaamua wewe unachukua ukubwa upi.

● Mradi upo mita 500 kutoka barabara kubwa ya lami yanapopita mabasi, unatembea kwa miguu kufika kituoni.

● Suala la miundombinu yote ipo hapohapo site sijui maji sijui umeme na majirani waliopangika na kujenga nyumba nzuri hapo hapo.

● Mitaa tumeichonga vizuri na barabara za mitaa tumeweka kubwa size ya 10mita. Unangoja nin kununua sehemu kama hii maana bei ni kama tumegawa bure.

● Majirani wapo tayari na huduma kama maduka ya vitu vidogo vidogo yapo hapo hapo site.

KWA MAELEZO ZAIDI TUPIGIE NAMBA HIZI

#0713132109 [Call and Whatsapp]
#0713132109 [Call and Whatsapp]

Kutembelea site ni kila siku pale mteja atakapohitaji kufika site na kujionea viwanja bila gharama yoyote ni muda wako tu mteja.

Mradi huu unauzwa na Sustainable Cities Company Limited na kampuni ndio imepima na yenye mamlaka ya kupauza hapa, haruhusiwi mtu yeyote kukanyaga kwenye eneo bila ruhusa ya kampuni.

Tunawajari sana wateja wetu.

Fika ofisini kwetu TEVI COMMERCIAL PARK(ilipo NBC BANK), MBEZI BEACH TANKI BOVU - DAR ES SALAAM.

sustainable cities company ltd.......VIWANJA,MASHAMBA NA MAKAZI
sustainablecities_company
sustainable cities company ltd.......VIWANJA,MASHAMBA NA MAKAZI

Similar items by location

Nyumba inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 170,000

(170,000 x5,6 )MBWZI KIBANDA CHA MKAA➖➖➖➖➖➖➖➖➖APARTIMENT INAPANGISHWA MBEZI KIBANDA CHA MKAAA #170K=...

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 35,000,000

MBEZI MWISHO NJIA YA MPIJIMAGOWE #NYUMBA_INAUZWA INA VYUMBA VITATU VYA KULALA KIMOJA MASTER SEBULE K...

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 35,000,000

MBEZI MWISHO NJIA YA MPIJIMAGOWE #NYUMBA_INAUZWA INA VYUMBA VITATU VYA KULALA KIMOJA MASTER SEBULE K...

Nyumba/Apartment inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 300,000

NIMEZIPUNGUZA BEI 💥💥ZIMEBAKIA 4 TUU NDUGU MTEJA CHANGAMKA NYUMBA NI 🔥🔥APARTMENT NZURI MPYA YA KI...

Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Mbezi, Dar Es Salaam
  • Project

Sh. 25,000

ENEO PAMOJA NA NYUMBA ZAKE LINAUZWA MBEZI MALAMBA MAWILI ( KITUO MK)Eneo linaukubwa wa SQM 6500Ndani...

Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Mbezi, Dar Es Salaam
  • Project

Sh. 25,000

ENEO PAMOJA NA NYUMBA ZAKE LINAUZWA MBEZI MALAMBA MAWILI ( KITUO MK)Eneo linaukubwa wa SQM 6500Ndani...

Kiwanja kinauzwa Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 200,000,000

PLOT FOR SALE UKUBWA SGMT 800BEI MILLION 200MAONGEZI KIDOGO LOCATION MBEZI BEACH SENT MARIS KUTOKA L...

Kiwanja kinauzwa Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 200,000,000

PLOT FOR SALE UKUBWA SGMT 800BEI MILLION 200MAONGEZI KIDOGO LOCATION MBEZI BEACH SENT MARIS KUTOKA L...

Kiwanja kinauzwa Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 120,000,000

PLOT FOR SALE BEI MILLION 120MAONGEZI LOCATION MBEZI BEACH MAKONDE PLOT NIKUBWA CALL ME NUMBER 06586...

Kiwanja kinauzwa Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 120,000,000

PLOT FOR SALE BEI MILLION 120MAONGEZI LOCATION MBEZI BEACH MAKONDE PLOT NIKUBWA CALL ME NUMBER 06586...