Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Buza, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
🏡 APARTMENT MPYA INAPANGISHWA – BUZA
Kupitia MAKINI REAL ESTATE
Je, unatafuta nyumba mpya, ya kisasa na yenye mazingira mazuri? Hii ndiyo nafasi yako!
✨ Sifa za Nyumba:
🛏️ Chumba 1 cha Master Bedroom
🛋️ Sebule yenye nafasi ya kutosha
🍽️ Jiko la wazi (Open Kitchen) la kisasa
❄️ Full Air Condition (AC)
⚡ Luku yako binafsi
💧 Maji yako binafsi
🚗 Parking ya kutosha
🛣️ Ipo karibu kabisa na barabara ya lami
💰 Masharti ya Kodi:
💵 Kodi: TSh 400,000 kwa mwezi
📅 Malipo ya miezi 6 mbele
🤝 Malipo ya dalali ni kodi ya mwezi mmoja
📞 Wasiliana Nasi:
MAKINI REAL ESTATE
📲 0755 100 856 (Piga Simu au WhatsApp)
NB:
🔹 Pesa ya kuonyesha nyumba ni TSh 25,000.
Usikose fursa hii! Wasiliana nasi leo kupitia MAKINI REAL ESTATE ili kupanga muda wa kuja kuiona na kuikodi kabla haijachukuliwa.












