Tafuta

Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Changanyikeni, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 850,000/month

Maelezo

🏡 APARTMENT FOR RENT – CHANGANYIKENI (UDSM) 📍

📍 Location: Changanyikeni UDSM – Dakika 3 tu kutoka Barabara ya Lami.

✨ Modern • Comfortable • Convenient Living

🔑 PROPERTY FEATURES
🛏️ One Bedroom Apartment
🛋️ Sebule kubwa yenye nafasi ya kutosha
🍽️ Jiko la kisasa lenye Built-In Cabinets
❄️ Full Air Conditioning (A/C)
🚿 Water Heater Installed
🚘 Secure Compound yenye maegesho ya kutosha

⚡ UTILITIES
💧 Maji ya Kujitegemea
💡 LUKU Meter ya Kujitegemea

💰 RENTAL DETAILS
🏠 Kodi: TZS 850,000 kwa Mwezi
📅 Malipo: Miezi 6 Mbele
💵 Security Deposit: Kodi ya Mwezi 1 (Refundable)

📌 SERVICE CHARGES
👀 Viewing Fee: TZS 30,000 (Malipo ya mara moja hadi upate nyumba.)
🤝 Brokerage Fee: Sawa na Kodi ya Mwezi 1 (Hulipwa tofauti.)

📲 FOR VIEWING & INQUIRIES
📞 Call / WhatsApp: 0710614924

✨ Usikose nafasi hii! Reserve apartment yako mapema na uwe miongoni mwa wapangaji wa kwanza kufurahia maisha ya kisasa katika eneo la Changanyikeni UDSM, karibu na barabara kuu na huduma muhimu.

📍 Follow @nyumbatz3 kwa apartments, nyumba na viwanja vipya vinavyopatikana kila siku.

RentalTZ NyumbaZaKupanga NyumbaTz3 RealEstateTanzania Apartment DarRentals ModernLiv

Matangazo mengine Changanyikeni, Dar es Salaam

Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Changanyikeni, Dar Es Salaam

Sh. 850,000/month

For Rent2 beds2 bathsapartment
Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Changanyikeni, Dar Es Salaam

Sh. 1,000,000/month

For Rent2 beds2 bathsapartment
Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Changanyikeni, Dar Es Salaam

Sh. 1,000,000/month

For Rent2 beds2 bathsapartment
Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Changanyikeni, Dar Es Salaam

Sh. 1,000,000/month

For Rent2 beds1 bathapartment